dcsimg

Nyoka-miti ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Nyoka-miti ni nyoka wa jenasi Dipsadoboa katika familia Colubridae. Amepewa jina hili kwa sababu hukaa mitini takriban masaa yote.

Nyoka hawa ni warefu kiasi, m 1.4 kwa kipeo lakini sm 60-90 kwa kawaida. Rangi yao ni kijani au kahawia. Spishi kahawia zina kilingo kama marumaru. Rangi hizi zinaweza kuchukuliwa kama rangi za kamafleji.

Kama jina lao linadokeza huishi mitini ambapo hukamata vyura, mijusi-kafiri na vinyonga.

Chonge ni meno ya nyuma lakini sumu yao haina hatari kwa watu.

Spishi

Picha

Marejeo

  • Spawls, S., Howell, K., Drewes, R. & Ashe, J. (2002) A field guide to the Reptiles of East Africa. Academic Press, San Diego, CA, USA.

Viungo vya nje

Crystal Clear app babelfish vector.svg Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Nyoka-miti kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Nyoka-miti: Brief Summary ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Nyoka-miti ni nyoka wa jenasi Dipsadoboa katika familia Colubridae. Amepewa jina hili kwa sababu hukaa mitini takriban masaa yote.

Nyoka hawa ni warefu kiasi, m 1.4 kwa kipeo lakini sm 60-90 kwa kawaida. Rangi yao ni kijani au kahawia. Spishi kahawia zina kilingo kama marumaru. Rangi hizi zinaweza kuchukuliwa kama rangi za kamafleji.

Kama jina lao linadokeza huishi mitini ambapo hukamata vyura, mijusi-kafiri na vinyonga.

Chonge ni meno ya nyuma lakini sumu yao haina hatari kwa watu.

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri