dcsimg

Tandala ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Kwa matumizi tofauti ya jina hili angalia hapa Tandala (Makete)

Tandala (kwa Kiingereza: kudu) ni wanyama wa jenasi Tragelaphus katika familia Bovidae. Spishi nyingine huitwa bongo, kulungu, malu, nyala au nzohe. Wanatokea Afrika katika maeneo yenye miti kutoka nyika hadi msitu. Wana milia na madoa nyeupe juu ya rangi ya kahawa au kijivu. Dume ni kubwa kuliko jike na ana pembe ndefu zilizopotolewa. Jike hana pembe. Wanyama hawa hula majani, manyasi, matunda na viazi vya gugu.

Spishi

Picha

Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.

Crystal Clear app babelfish vector.svg Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Tandala kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Tandala: Brief Summary ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Kwa matumizi tofauti ya jina hili angalia hapa Tandala (Makete)

Tandala (kwa Kiingereza: kudu) ni wanyama wa jenasi Tragelaphus katika familia Bovidae. Spishi nyingine huitwa bongo, kulungu, malu, nyala au nzohe. Wanatokea Afrika katika maeneo yenye miti kutoka nyika hadi msitu. Wana milia na madoa nyeupe juu ya rangi ya kahawa au kijivu. Dume ni kubwa kuliko jike na ana pembe ndefu zilizopotolewa. Jike hana pembe. Wanyama hawa hula majani, manyasi, matunda na viazi vya gugu.

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri