dcsimg

Kipimanjia ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Vipimanjia au minaana ni ndege wadogo wa jenasi Anthus na Madanga katika familia ya Motacillidae. Zamani jenasi Madanga iliainishwa katika familia Zosteropidae (vinengenenge).

Ndege hawa wana rangi za kamafleji: nyeupe au njano chini na kijivu au kahawia juu. Makucha yao ya nyuma ni marefu kuliko yale ya matikisa. Takriban spishi zote hupatikana ardhini. Hula wadudu hasa na mbegu pia. Tago lao ni kikombe cha manyasi ardhini na jike huyataga mayai 2-6.

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Picha

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Kipimanjia: Brief Summary ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Vipimanjia au minaana ni ndege wadogo wa jenasi Anthus na Madanga katika familia ya Motacillidae. Zamani jenasi Madanga iliainishwa katika familia Zosteropidae (vinengenenge).

Ndege hawa wana rangi za kamafleji: nyeupe au njano chini na kijivu au kahawia juu. Makucha yao ya nyuma ni marefu kuliko yale ya matikisa. Takriban spishi zote hupatikana ardhini. Hula wadudu hasa na mbegu pia. Tago lao ni kikombe cha manyasi ardhini na jike huyataga mayai 2-6.

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri