dcsimg

Tembo-bahari ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Tembo-bahari (kwa Kijerumani: see-elefant; jina la kisayansi: Mirounga) ni jenasi ya wanyama wakubwa wa Bahari ya Pasifiki na Bahari ya Kusini wenye mkonga mfupi kama tembo.

Spishi

 src=
Ramani inaonyesha maeneo yaliyokaliwa na tembo-bahari kaskazi (buluu)
 src=
Ramani inaonyesha maeneo yaliyokaliwa na tembo-bahari kusi (feruzi)
WikiLettreMini.svg Makala hii kuhusu "Tembo-bahari" inatumia neno (au maneno) ambalo si kawaida na matumizi yake ni jaribio la kutafsiri neno (au maneno) la asili see-elefant kutoka lugha ya Kijerumani. Neno (au maneno) la jaribio ni tembo-bahari.
Wasomaji wanaombwa kuchangia mawazo yao kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala.

Kamusi za Kiswahili ama zinatofautiana kuhusu matumizi ya neno hili au hazieleweki au hazina neno kwa jambo linalojadiliwa.

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Tembo-bahari: Brief Summary ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Tembo-bahari (kwa Kijerumani: see-elefant; jina la kisayansi: Mirounga) ni jenasi ya wanyama wakubwa wa Bahari ya Pasifiki na Bahari ya Kusini wenye mkonga mfupi kama tembo.

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri