Mbaazi (Cajanus cajan) ni mmea wa mazao wa nusufamilia Faboideae katika familia Fabaceae. Matunda yake huitwa mbaazi pia. Mmea huu hukuzwa sana katika maeneo makavu ya tropiki na nusutropiki.
Mbaazi (Cajanus cajan) ni mmea wa mazao wa nusufamilia Faboideae katika familia Fabaceae. Matunda yake huitwa mbaazi pia. Mmea huu hukuzwa sana katika maeneo makavu ya tropiki na nusutropiki.