dcsimg

Mkunde ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Mkunde (Vigna unguiculata) ni mmea wa mazao wa nusufamilia Faboideae katika familia Fabaceae (miharagwe). Mmea huu hupandwa sana katika Afrika na katika Amerika ya Kati na ya Kusini, Asia na Ulaya ya Kusini pia. Majani na mbegu zake huitwa kunde na hizi ni chakula muhimu.

Nususpishi ya mkunde, mkunde-mwitu (V. u. ssp. cylindrica), hukua porini kwa Afrika lakini hukuzwa pia kama mmea wa mazao na kutoa malisho.

Nususpishi nyingine, mkobwe (V. u. ssp. sesquipedalis), ina makaka marefu sana: sm 35-75 (maana ya "sesquipedalis" ni futi moja na nusu). Makaka hawa au makobwe huliwa kama maharagwe-mboga.

Picha

Greentree.jpg Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkunde kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri

Mkunde: Brief Summary ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Mkunde (Vigna unguiculata) ni mmea wa mazao wa nusufamilia Faboideae katika familia Fabaceae (miharagwe). Mmea huu hupandwa sana katika Afrika na katika Amerika ya Kati na ya Kusini, Asia na Ulaya ya Kusini pia. Majani na mbegu zake huitwa kunde na hizi ni chakula muhimu.

Nususpishi ya mkunde, mkunde-mwitu (V. u. ssp. cylindrica), hukua porini kwa Afrika lakini hukuzwa pia kama mmea wa mazao na kutoa malisho.

Nususpishi nyingine, mkobwe (V. u. ssp. sesquipedalis), ina makaka marefu sana: sm 35-75 (maana ya "sesquipedalis" ni futi moja na nusu). Makaka hawa au makobwe huliwa kama maharagwe-mboga.

license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri