Mnazi (Cocos nucifera) ni kati ya miti muhimu zaidi kwa ajili ya uchumi wa kibinadamu katika nchi za tropiki.
Mnazi ni mmea wa familia ya Palmae (au: Arecaceae). Asili yake inafikiriwa iko Asia ya kusini lakini umesambaa tangu karne nyingi sana. Mbegu wake unaweza kuzaa hata baada ya kukaa kwenye maji ya bahari kwa muda fulani hivyo inawezekana ya kwamba mnazi ulisambaa peke yake kwenye pwani za bahari. Lakini bila shaka watu waliibeba safarini kwa sababu ni chakula.
Mnazi (Cocos nucifera) ni kati ya miti muhimu zaidi kwa ajili ya uchumi wa kibinadamu katika nchi za tropiki.
tunda lake laitwa nazi ni chakula nyama ya tunda hukaushwa kuwa nguta (au: mbata). Nguta hutumiwa viwandani kwa kutengeneza mafuta ya kulika. utomvu ni kinywaji chenye afya kwa sababu ya vitamini yake utomvu uliochachuka "mnazi" ni kinywaji cha pombe ubao unatumiwa kwa ujenzi wa nyumba au jahazi majani kwa paa za nyumba, mikeka au makofia. Mafuu ya mbegu hutumiwa kama kuni au kutengeneza vifaa vya muziki au urembo kama vile bandili, hereni au mikufu.Mnazi ni mmea wa familia ya Palmae (au: Arecaceae). Asili yake inafikiriwa iko Asia ya kusini lakini umesambaa tangu karne nyingi sana. Mbegu wake unaweza kuzaa hata baada ya kukaa kwenye maji ya bahari kwa muda fulani hivyo inawezekana ya kwamba mnazi ulisambaa peke yake kwenye pwani za bahari. Lakini bila shaka watu waliibeba safarini kwa sababu ni chakula.
Mnazi
Mnazi inavyokua katika nyumba ya kioo kwenye nchi ya Ulaya
Picha ya mnazi na tunda lake la nazi
picha ya maua ya mnazi
Nazi bila kozi lake