dcsimg

Joka wa Komodo ( Swahili )

provided by wikipedia emerging languages

Joka wa Komodo (Varanus komodoensis) ni spishi kubwa kushinda mijusi wote. Joka wa Komodo anatokea visiwa vya Komodo, Rinca, Gili Motang na Flores katika Indonesia.

Crystal Clear app babelfish vector.svg Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Joka wa Komodo kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
license
cc-by-sa-3.0
copyright
Waandishi wa Wikipedia na wahariri